WAP Groups
Download Free Ringtones & Wallpapers @ PHONEKY.com

Polls
Create Your Own App Store

* WABONGO > Polls


* hivi maendeleo yataletwa kwa mdomo tu au kwa kufanya kazi?

mbona kuna watu maalum wamewekwa kuhakikisha mtu hapati maendeleo?
kwa kufanyia njama na hujuma na kuhakikisha hata akisema haaminiwi.wanathubutu kumwaga milioni kadhaa.....?
je waweza kwenda mahamani kwa watu walio kulia njama tena wakitumia lugha za alama?
je unadhani sheria ya ardhi inamsaidia mtu wa kawaida kwa bei ya milioni moja na nusu kwa kiwanja kidogo?
kitu gani kinachofanya bei iwe juu wakati wapimaji wanalipwa kila mwezi?
au nondo na sakafu kiduchu ndiyo inayofanya bei ipae na kuwa milioni moja na nusu?
lengo la serikali wananchi wake kakaa maeneo yaliyopimwa yatafikiwa ikiwa mtumishi wa serikali tu hawezi kununua kiwanja
je huoni wanaojenga maeneo yasiyopimwa wako halali kwa kuwa wao ni watanzania?
au kukosa uwezo wa kununua kiwanja ni sababu tosha ya kukosa uraia je niende wapi na hii ni nchi yangu asilia?
kwa nini bei isiwekwe kulingana na uwezo halisi wa mtanzania au waweke bei ziwe na matabaka kati ya matajiri na maskini?


* Posted by: rsmusa
* View Results


* WABONGO

Create Your Own App Store

topTop
groupsGroups
mainProdigits

Custom Search


Create Your Own App Store