Download Free Ringtones & Wallpapers @ PHONEKY.com
Polls
WABONGO > Polls
Here are the results so far .....
hivi maendeleo yataletwa kwa mdomo tu au kwa kufanya kazi?
OF 2 VOTES....
mbona kuna watu maalum wamewekwa kuhakikisha mtu hapati maendeleo? (1) %50
kitu gani kinachofanya bei iwe juu wakati wapimaji wanalipwa kila mwezi? (1) %50
kwa kufanyia njama na hujuma na kuhakikisha hata akisema haaminiwi.wanathubutu kumwaga milioni kadhaa.....? (0)
je waweza kwenda mahamani kwa watu walio kulia njama tena wakitumia lugha za alama? (0)
je unadhani sheria ya ardhi inamsaidia mtu wa kawaida kwa bei ya milioni moja na nusu kwa kiwanja kidogo? (0)
au nondo na sakafu kiduchu ndiyo inayofanya bei ipae na kuwa milioni moja na nusu? (0)
lengo la serikali wananchi wake kakaa maeneo yaliyopimwa yatafikiwa ikiwa mtumishi wa serikali tu hawezi kununua kiwanja (0)
je huoni wanaojenga maeneo yasiyopimwa wako halali kwa kuwa wao ni watanzania? (0)
au kukosa uwezo wa kununua kiwanja ni sababu tosha ya kukosa uraia je niende wapi na hii ni nchi yangu asilia? (0)
kwa nini bei isiwekwe kulingana na uwezo halisi wa mtanzania au waweke bei ziwe na matabaka kati ya matajiri na maskini? (0)
Posted by: rsmusa
WABONGO
Top
Groups
Prodigits
Create Your Own App Store